@MrBruce
Post by MRBRUCE
"Mimi siamini kuna Mungu. Kila kitu niko nayo, magari, nyumba na watoto ni kwa uwezo wangu, sio wa Mungu. I have weighed all the options nikaona religion doesn’t make sense to me.
Mimi najua tu nilizaliwa na mama yangu na baba yangu. Iyo mambo ya Mungu sitambui"~ Kenyan dancer, Tile Pacbro
Mimi najua tu nilizaliwa na mama yangu na baba yangu. Iyo mambo ya Mungu sitambui"~ Kenyan dancer, Tile Pacbro
